Piosenka:
Jay Melody - Sawa tekstowo zapisana

Tekst piosenki Sawa


Mapenzi tu,
Nimepagawa hamjui
Ye kila mara ananifanya silali
Namwaza yeye tu
Anayeweka roho yangu juu
Ana utoto tu
Sema uzuri ananipaga asali
Mi nailamba tu

Na penzi letu ni kama sunna
Na ulinzi kama suma
Hata akinuna
Bado unapendeza mchumba
Mkimuona ananichuna
Msinionee huruma

Cha mtu huliwa na mtu
Kutu yake chuma

Basi mwambieni nampenda
Sawa, sawa, sawa
Ah mwambie mi nampenda
Yes (Sawa) Right (Sawa) Sawa

Huo utamu hasa nikiingia
Akifungua gate naingia
Akipanua neti naingia
Na wala sikwepeshi naingia
Sina akili ya kuchange idea
Hapo hapo nimemng’ang’ania
Hapo hapo nimeshikilia
Na visokorokwinyo mtaumia, naahaa
Kwa hakika haya mapenzi
Kusema kweli, yataniua
Kwa hakika haya mapenzi
Kusema kweli, yataniua

Na penzi letu ni kama sunna
Na ulinzi kama suma
Hata akinuna
Bado unapendeza mchumba
Mkimuona ananichuna
Msinionee huruma
Cha mtu huliwa na mtu
Kutu yake chuma

Basi mwambieni nampenda
Sawa, sawa, sawa
Ah mwambie mi nampenda
Yes (Sawa) Right (Sawa) Sawa

Jay Melody - Sawa Tekst piosenki

Jay Melody - Sawa tekstowo Jay Melody - Sawa Text Sawa Jay Melody Sawa słowa

Teledysk do piosenki
Sawa

Sawa Ulubioną piosenką?

Zobacz więcej tekstów piosenek, które wykonuje Jay Melody

Kadr z teledysku Sawa tekst piosenki Jay Melody

TE TEKSTY PIOSENEK MAJĄ PRAWO SIĘ PODOBAĆ

NOWE TEKSTY PIOSENEK A JUŻ TAKIE POPULARNE

A POPA JESZCZE NA TE TEKSTY PIOSENEK